Afya ya Uzazi Ni hali ya kuwa sawa kimwili, kiakili na kijamii hasa katika mambo yanayohusiana na mfumo wa uzazi na utendaji kazi wake. Afya ya uzazi hujumuisha elimu ya hedhi, namna ya kujikinga na magonjwa ya zinaa, uzazi wa mpango n.k.
Download
Afya ya Uzazi Ni hali ya kuwa sawa kimwili, kiakili na kijamii hasa katika mambo yanayohusiana na mfumo wa uzazi na utendaji kazi wake. Afya ya uzazi hujumuisha elimu ya hedhi, namna ya kujikinga na magonjwa ya zinaa, uzazi wa mpango n.k.

